#TAFAKARI YA LEO; USIBADILI TUKIO…
“You don’t have to turn this into something. It doesn’t have to upset you. Things can’t shape our decisions by themselves.” – Marcus Aurelius Matukio huwa yanatokea kama yalivyopanga yenyewe, Na yanatokea kwa kila mtu. Ila baadhi ya watu wamekuwa wanayabadili matukio hayo na kuwa mzigo zaidi kwao. Usiingie kwenye (more…)