#TAFAKARI YA ASUBUHI; SUMU YA UBUNIFU…
Kila mmoja wetu ana utofauti na upekee ndani yake, Lakini ni wachache sana ambao wanaweza kubaki na utofauti waliozaliwa nao. Wengi hupoteza upekee wao na kujikuta wakiendesha maisha ya kawaida ambayo hayawatofautishi na wengine. Kitu ambacho kinachangia kuwazuia wasifanikiwe. Kuna sumu kubwa mbili ambazo zimekuwa zinaua upekee na utofauti ulio (more…)