Category Archives: KUTOKA KWA KOCHA

Hizi ni makala kwa wasomaji wote wa KISIMA CHA MAARIFA.

#TuvukePamoja; UWEKEZAJI SAHIHI KWAKO KUFANYA…

By | May 24, 2020

Katika kipindi hiki tunachopitia changamoto kubwa, uwekezaji sahihi kwako kufanya ni kuwekeza ndani yako binafsi. Changamoto kama hizi zinatuonesha ni wapi tuna udhaifu na mapungufu, zinatuonesha nini tumekuwa tunafanya kwa mazoea. Hivyo ni wakati sahihi kwako kufanya uwekezaji wa kuwa bora zaidi kwenye yale maeneo ambayo una udhaifu na mapungufu. (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; FURAHA NI ZAO LA UPENDO…

By | May 24, 2020

“In order to be happy, you should love—love with self-sacrifice, love all and everything, and spread a network of love everywhere. No matter who gets into this net, catch them all and fill them with love.” – Leo Tolstoy Wanafalsafa na watu wenye hekima ambao wamewahi kupita hapa duniani, Wote (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; MAMBO MAZURI YANAHITAJI MUDA…

By | May 22, 2020

“The greatest changes in the world are made slowly and gradually, not with eruptions and revolutions. The same things happen in one’s spiritual life.” – Leo Tolstoy Mabadiliko makubwa na bora kwenye maisha yako, huwa yanatokea taratibu na kidogo kidogo, siyo haraka na kwa pamoja. Ukuaji wa kiroho pia huwa (more…)

#TuvukePamoja; MUDA WA UPWEKE NA UTULIVU

By | May 21, 2020

Kwenye changamoto tunayopitia na hata nyingine nyingi, Ni rahisi sana kila wakati kuwa imetingwa na mambo mbalimbali. Yaweza kuwa kazi zako mwenyewe, Inaweza kuwa taarifa mbalimbali za yale yanayoendelea, Au kwa kuwa na muda mwingi, unajikuta unamaliza wote kwa kuzurura mitandaoni au kuangalia tamthilia na maigizo mbalimbali. Kitu ambacho tunakikwepa (more…)

#TuvukePamoja; UTARATIBU WA KUIENDESHA SIKU (ROUTINE)

By | May 19, 2020

Katika wakati huu ambao tunapitia changamoto kubwa, kila mmoja anahitaji mfumo bora wa kuendesha maisha yake. Mfumo ambao hautakwamishwa na chochote kile. Moja ya vitu vitakavyokusaidia sana kwenye kuziishi siku zako vizuri, Ni kutengeneza utaratibu wa siku yako ambao utauishi kila siku. Utaratibu huo unaitwa ROUTINE. Hapa unapangilia jinsi ambavyo (more…)

#TuvukePamoja; EPUKA HALI HASI…

By | May 18, 2020

Kwa kile tunachopitia sasa, jukumu kubwa ulilonalo ni kuepuka kabisa hali yoyote ambayo ni hasi. Kama kuna watu ukiongea au kuwasiliana nao wanaongea mambo hasi na kulalamika jinsi mambo yalivyo magumu, acha mara moja kuongea au kuwasiliana nao. Kama kuna vyombo vya habari au vipindi ambavyo ukifuatilia unakutana na taarifa (more…)