#TAFAKARI YA ASUBUHI; KIKWAZO KIKUU NI HOFU…
“Fear defeats more people than any other one thing in the world.” —Ralph Waldo Emerson Hebu fikiria ni mambo gani ungekuwa umefanya na hatua zipi umepiga mpaka sasa kama usingekuwa na hofu? Biashara ambayo umekuwa unajiambia utaianza miaka mingi ungeshaianza tayari. Vitu vipya ambavyo umekuwa unatamani kuvifanya kwa muda mrefu (more…)