#TuvukePamoja; TAFUTA ENEO LA KUHODHI.
Katika changamoto kubwa ya kiuchumi tunayopitia ambayo imesababishwa na mlipuko wa vizuri vya Corona, biashara nyingi zinakufa na kazi zinapotea. Wengi wanafunga biashara zao na hawatakuja kuzifungua tena, Wengi pia wanapunguzwa kazi na hawatakuja kupata kazi hizo tena. Ni hali ambayo inawashtua wengi, kwa kuwa hakuna aliyeitegemea, maana kila kitu (more…)