Kama Unataka Kupata Unachotaka Fanya Hivi…
Kama kuna kitu ambacho unakitaka kweli, na upo tayari kufanya chochote ili kukipata, ulimwengu mzima utakusaidia kupata kitu hiko. Hivyo kupata chochote unachotaka, hakikisha unakitaka kweli na unaamini kwamba unaweza kukipata. SOMA; Fanya Mambo Haya Matatu Na Usipokuwa Tajiri Ndani ya miaka 10, sahau kuhusu utajiri kwenye maisha yako. Kama (more…)