Tag Archives: UONGOZI

Sifa Moja Muhimu Ambayo Kila Kiongozi Mkubwa Anayo.

By | March 16, 2014

Kwenye makala zilizopita tuliona ni muhimu kwa kila mmoja wetu kuwa kiongozi kwenye maisha yake na shughuli anazofanya. Pia tuliona kwamba kila mmoja wetu anaweza kuwa kiongozi kama ataamua, iwe kwa kuendeleza sifa za uongozi zilizopo ndani yake au kwa kujifunza sifa za uongozi. Leo tutaangalia sifa moja muhimu ambayo (more…)

Kiongozi Anazaliwa au Anatengenezwa? Jibu Hili Hapa.

By | March 9, 2014

Kumekuwa na mjadala au mabishano kwa muda mrefu ikiwa kiongozi anazaliwa au anatengenezwa. Wapo wengi ambao wanaamini watu wenye sifa za uongozi wanazaliwa nazo na haziwezi kutengenezwa. Wapo wengine wanaoamini viongozi wanatengenezwa kutokana na jamii wanayoishi na elimu wanayopata. Nani yupo sahihi hapa? Je wewe una maoni gani juu ya (more…)

Kiongozi Anazaliwa au Anatengenezwa? Jibu Hili Hapa.

By | March 9, 2014

Kumekuwa na mjadala au mabishano kwa muda mrefu ikiwa kiongozi anazaliwa au anatengenezwa. Wapo wengi ambao wanaamini watu wenye sifa za uongozi wanazaliwa nazo na haziwezi kutengenezwa. Wapo wengine wanaoamini viongozi wanatengenezwa kutokana na jamii wanayoishi na elimu wanayopata. Nani yupo sahihi hapa? Je wewe una maoni gani juu ya (more…)

Ni Muhimu Sana Wewe Kuwa Kiongozi.

By | March 2, 2014

  Katika safari ya malengo yangu ya kuwa rais wa Tanzania ifikapo mwaka 2040 moja ya maandalizi makubwa ni kujenga sifa za uongozi ndani yangu. Katika kujenga sifa kwangu mimi namkaribisha yeyote anayetaka kujenga sifa za uongozi ndani yake tuwe pamoja kwenye safari hii. Nani anatakiwa kuwa kiongozi? Dunia ya (more…)

Ni Muhimu Sana Wewe Kuwa Kiongozi.

By | March 2, 2014

  Katika safari ya malengo yangu ya kuwa rais wa Tanzania ifikapo mwaka 2040 moja ya maandalizi makubwa ni kujenga sifa za uongozi ndani yangu. Katika kujenga sifa kwangu mimi namkaribisha yeyote anayetaka kujenga sifa za uongozi ndani yake tuwe pamoja kwenye safari hii. Nani anatakiwa kuwa kiongozi? Dunia ya (more…)

Lengo Langu Kubwa Kwenye Maisha; Kuwa Rais wa Tanzania.

By | February 23, 2014

  Leo nakushirikisha lengo kubwa sana kwenye maisha yangu. Lengo hilo ni kuwa rais wa nchi yangu Tanzania. Kama ilivyo kwenye kuweka lengo lolote kuna hatua muhimu za kufuata ili kuweza kufikia lengo unaloweka.   Katika lengo langu mimi ninachotaka ni kuwa rais wa nchi yangu Tanzania.   Kwa nini (more…)